MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #61
Mi namshukuru Mungu kwa kuninyima uvumilivu! Game lazima acheze! Na kwa hasira siku akiwa kwenye joto anahitaji huduma, mtarimbo unaweka mgomo. Sijui atauamshaje bila hiari yangu?
Xpin hebu ongea taratibu hapa maana wengine huwa hatuhitaji go ahead na kuamka utaamka tu upende usipende