Je, ni haki?

ndume

Member
Jan 10, 2011
53
2
Naomba mnisaidie wenzangu,kuzuia maendeleo ya wananchi kwa sababu ya kupisha ujenzi wa barabara,na mpaka sasa wametia alama majengo ili kupisha ujenzi huo na kupiga hesabu za fidia,matokeo yake tangu mwaka jana mpaka hivi sasa ni karibu miezi nane na wananchi mpaka sasa wamesimamisha shughuli zao za maendeleo ukizingatia nyumba nyingi ni za biashara na wengine wameshindwa kuingiza umeme kwa kuogopa hasara,watu wanaogopa kupanga kwa sababu aijulikani ni lini watakuja, na kampuni ya ujenzi imeshafika na imeshaanza kazi, barabara yenyewe ni ya Handeni mpaka Mikumi kupitia Dumila.
Je, ni haki hii? Au ni ujanja tu wa watu na naomba mnisaidie kisheria inapaswa kulalamika.Asanteni sana
 
Naomba mnisaidie wenzangu,kuzuia maendeleo ya wananchi kwa sababu ya kupisha ujenzi wa barabara,na mpaka sasa wametia alama majengo ili kupisha ujenzi huo na kupiga hesabu za fidia,matokeo yake tangu mwaka jana mpaka hivi sasa ni karibu miezi nane na wananchi mpaka sasa wamesimamisha shughuli zao za maendeleo ukizingatia nyumba nyingi ni za biashara na wengine wameshindwa kuingiza umeme kwa kuogopa hasara,watu wanaogopa kupanga kwa sababu aijulikani ni lini watakuja, na kampuni ya ujenzi imeshafika na imeshaanza kazi, barabara yenyewe ni ya Handeni mpaka Mikumi kupitia Dumila.
Je, ni haki hii? Au ni ujanja tu wa watu na naomba mnisaidie kisheria inapaswa kulalamika.Asanteni sana

ikifika miez 6 tangu uthamin ufanyike na wafidiwa wakiwa hawajapata muamala_sheria inasema lazima waongezewe percentage(sikumbuki ni kias gan) lakin pia mthamin anaweza kurudia_hairuhusiw kufanya maendeleo yoyote baada ya uthamini
 
ikifika miez 6 tangu uthamin ufanyike na wafidiwa wakiwa hawajapata muamala_sheria inasema lazima waongezewe percentage(sikumbuki ni kias gan) lakin pia mthamin anaweza kurudia_hairuhusiw kufanya maendeleo yoyote baada ya uthamini

Asante sana majibu yako nimekupata
 
Back
Top Bottom