manyanyaso2012
Member
- Jun 18, 2012
- 5
- 0
Wadau naomba kuuliza je ni haki ya mfanyakazi kupewa likizo bila malipo kwa muda wa miaka mitatu? Wadau mnaoijua sheria naomba msaada.
Na hii leave allowance inalipwaje kimahesabu!!Kwa mujibu wa sheria ya ajira na mahusiano kazini no.6 ya 2004, mfanyakazi atatakiwa kwenda likizo ya mwaka (annua leave) kila baada ya miezi 12 kazini. Kumbuka likizo zote ni za malipo. Mfanyakazi atakuwa na haki ya kulipwa Leave allowance kila baada ya miaka miwili na mwajiri wake.
What if ulihama kutoka taasisi ingine na ulimaliza kule likizo isokua na malipo..je mwajiri mpya anapaswa kukulipa likizo inayofuata?Kisheria mfanyakazi anastahili likizo yenye malipo isiyopungua siku 28 kila baada ya miaka miwili. Hii ina maana ukiajiriwa mwaka wa kwanza utapata likizo isiyo na malipo. Mwaka wa pili utapata yenye malipo. Mwaka wa tau aina malipo, n.k. Kwa sheria ya sasa mwajiri atakiwi kumpa pesa mwajiriwa kama mbadala wa likizo. Hivyo kama umepata likizo kwa miaka 3 bila malipo ina maana umepunjwa malipo yako ya likizo yako ya mwaka mmoja
Wadau napenda kuungana na manyanyaso2012 kwenye hoja yake hii ingawa ningependa kuiweka sawa kama ataridhia.Wadau naomba kuuliza je ni haki ya mfanyakazi kupewa likizo bila malipo kwa muda wa miaka mitatu? Wadau mnaoijua sheria naomba msaada.