TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Salaam wana JF! Naomba kusaidiwa kama ni jambo la msingi kwa chama kinachounda serikali kinamnadi mgombea wake kwa kutumia ahadi mpya kabisa kabisa badala ya kutumia ahadi ambazo mathalan marehemu aliziacha.Katika nchi hii nimegundua kwamba umasikini hausababishwi na uvivu wa watanzania bali viongozi kwa sababu wengi wao kwao wanafanya kazi bila kumuogopa Mungu wa kweli eg.LUSINDE,SENDEKA,MAJIMAREFU nk.Na kama ukipima majimbo ya hawa wabunge ni masikini wa kutupwa.