Kwa kufuata hali ya hewa ya Tanzania, je ni haki kuwavisha mavazi haya askari wetu wa FFU?
Picha kwa Hisani ya SUMO
:confused2:Hebu pendekeza wewe ulitaka wavae nini? T-shirt na jeans au wavae kata K? kwani wewe ni mtalaamu wa mambo ya kijeshi au unajisemea tuu? na kwanza unjaua wako nchi gani?