Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kufuata hali ya hewa ya Tanzania, je ni haki kuwavisha mavazi haya askari wetu wa FFU?
Picha kwa Hisani ya SUMO
Unajua mkuu me skuelewgi elwagi kabisa,uko vuguvugu sanani sawa tu, hata saudia na joto lote lile wanavaa hivyo hivyo... tukiwavalisha pensi utakuja juu pia?
hizo ndio standards mkuu
Mh! hiyo kali. Ina maana tayari tuko vitani ila wenyewe hatujui tu!! Kavazi hako kamoja ni dola ngapi mjomba? Ufisadi utaisha kweli?
mkuu ukiona hivyo ujue sijapata kapombe kidogo... nivumilie na unisamehe bureUnajua mkuu me skuelewgi elwagi kabisa,uko vuguvugu sana
vyama korofi dawa yao ndo imewadia
vyama korofi dawa yao ndo imewadia
Kwa kufuata hali ya hewa ya Tanzania, je ni haki kuwavisha mavazi haya askari wetu wa FFU?
Picha kwa Hisani ya SUMO