Gaspare Mbile
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 1,568
- 1,600
Leo nimejiuliza sana nikatafakari ila sijapata jibu kuhusu hii kitu. Hivi 'Photo' na 'Picture' ina maana sawa au ni tofauti? Kama ni tofauti naomba kuelimishwa.
Asante.
Asante.
Thread closed..mjomba umemaliza kila kituPicture ni taswira yoyote hata iliyochorwa kwa mkono. Photograph inachukuliwa na kamera.
Na mpira umekwishaA photo is a picture taken with a camera. A picture is any visual representation of a subject.
Image ni reflection ya objectna IMAGE je?