Je ndoa yenu imechelewa kupata mtoto? ukweli ndio huu!!!!

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,780
Wanawake wanamegwa na midume hovyo akiona hapati mtoto kutoka kwa mume wake wa ndoa.
Chanzo cha jitihada hizi ni kukwepa lawama kutoka kwa mama mkwe na mafiwi.
Pia wanaume wengi hawako tayari kupima afya ya uzazi.
 
mmmmh hao wanaoenda kutafuta huko nje wanakua wameshajua tatizo ni nini?
 
Mungu anistiri lakini ntasubiri na ntajitahidi kutafuta mbinu nyengine lakini sio za kulala na mwanamme mwengine...
 
Jamani sitetei upuuzi huu, sasa ikiwa tumejaribu miaka 3-4 na hutaki kupima afya unategemea nini, kila mwanamke anahitaji kuwa mama one day, lazima njia mbadala itatumika.

Conclusion, acheni uwoga wa kucheck afya saa nyingine matatizo ni madogo, pili msiwaache mama na dada zenu kuwanyanyapaa wake zenu.
 
Jamani sitetei upuuzi huu, sasa ikiwa tumejaribu miaka 3-4 na hutaki kupima afya unategemea nini, kila mwanamke anahitaji kuwa mama one day, lazima njia mbadala itatumika.

Conclusion, acheni uwoga wa kucheck afya saa nyingine matatizo ni madogo, pili msiwaache mama na dada zenu kuwanyanyapaa wake zenu.

MadameX bora umeongea ukweli, wanawake wengi wanapinga licha ya kuwa huwa wanamegwa na waganga wa kienyeji ili wapate mimba.
Mbinu za waganga ni kwamba eti dawa inapakwa kwenye mchi halafu mganga anaingiza mchi wake kwenye kinu cha mwanadada
 
Last edited by a moderator:
Jamani sitetei upuuzi huu, sasa ikiwa tumejaribu miaka 3-4 na hutaki kupima afya unategemea nini, kila mwanamke anahitaji kuwa mama one day, lazima njia mbadala itatumika.

Conclusion, acheni uwoga wa kucheck afya saa nyingine matatizo ni madogo, pili msiwaache mama na dada zenu kuwanyanyapaa wake zenu.

MadameX bora umeongea ukweli, wanawake wengi wanapinga licha ya kuwa huwa wanamegwa na waganga wa kienyeji ili wapate mimba.
Mbinu za waganga ni kwamba eti dawa inapakwa kwenye mchi halafu mganga anaingiza mchi wake kwenye kinu cha mwanadada
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom