Je nchi yangu Tanzania imepatwa na laana???

King Suleiman

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
496
327
Salaam wana JF,
laana (curse) kwa tafsiri nyepesi ni matukio mabaya yanayoweza kumpata mtu,familia,jamii na hata taifa. Laana mara nyingi hutokana na kwenda kinyume na mwenyezi Mungu au kwa namna nyepesi dhambi... Kama dhuluma, ufisadi, kutotenda haki na dhambi nyingine.
Kwahiyo laana ni kinyume cha baraka(blessings)

mimi sio sheikh wala kasisi kulezea sana maana ya laana, but nukiangalia mambo yanayolikumba taifa langu pendwa Tz nahisi kuna harufu ya laana. Tumekubwa na obwe la siasa dhalimu yenye ubinafsi na kushabikia chama badala ya taifa, na watu wapo tayari kujinufaisha na kusababisha wengine wadhurike na kuangamia kabisa.

matokeo yake ambayo yanaonekana kama laana vile ni:-
*uchaguzi wenye mizengwe
*nchi kutotawalika vizuri
*matatizo ya umeme kila kukicha
*ajali nyingi kupindukia
*maisha magumu( under one doller)
*sasa mabomu na wengine watanufaika na tume zitakazoundwa bila kujali waathirika.

kwa mtazamo wangu, kama vile laana imeanza kuikumba taifa letu pendwa Tz na ni wajibu wa kila mmoja kukomesha laana hii kwa kila njia. Maana baadae laana inaweza kuwa critical tukashindwa kuiondoa...
 
Na kama kweli ni laana nini chanzo? Nani kasababisha? Tunapaswa kujiuliza ili kutatua majanga haya kwakweli...
 
JKndo mwenye laana. Hakutoa pesa ya kuhamisha mabomu, hivyo kawapa jeuri watu wake wote walio chini yake, wanaokataa kujiuzulu au kuwajibika

Syxtus
 
JKndo mwenye laana. Hakutoa pesa ya kuhamisha mabomu, hivyo kawapa jeuri watu wake wote walio chini yake, wanaokataa kujiuzulu au kuwajibika

Syxtus

S, kwa hakika tunahitaji viongozi wabunifu na wanaoweza kutatua matatizo bila kusubiri maafa ndio waanze opportunity zao za kisiasa. Kwa hakika tunasafari ndefu
 
Salaam wana JF,
laana (curse) kwa tafsiri nyepesi ni matukio mabaya yanayoweza kumpata mtu,familia,jamii na hata taifa. Laana mara nyingi hutokana na kwenda kinyume na mwenyezi Mungu au kwa namna nyepesi dhambi... Kama dhuluma, ufisadi, kutotenda haki na dhambi nyingine.
Kwahiyo laana ni kinyume cha baraka(blessings)

mimi sio sheikh wala kasisi kulezea sana maana ya laana, but nukiangalia mambo yanayolikumba taifa langu pendwa Tz nahisi kuna harufu ya laana. Tumekubwa na obwe la siasa dhalimu yenye ubinafsi na kushabikia chama badala ya taifa, na watu wapo tayari kujinufaisha na kusababisha wengine wadhurike na kuangamia kabisa.

matokeo yake ambayo yanaonekana kama laana vile ni:-
*uchaguzi wenye mizengwe
*nchi kutotawalika vizuri
*matatizo ya umeme kila kukicha
*ajali nyingi kupindukia
*maisha magumu( under one doller)
*sasa mabomu na wengine watanufaika na tume zitakazoundwa bila kujali waathirika.

kwa mtazamo wangu, kama vile laana imeanza kuikumba taifa letu pendwa Tz na ni wajibu wa kila mmoja kukomesha laana hii kwa kila njia. Maana baadae laana inaweza kuwa critical tukashindwa kuiondoa...
Sio laana,wananchi hawajui kuwawajibisha viongozi period!The rest ni issues za kiiamani na ndiyo zimetukwamisha.
 
Wenye laana ni wale wote walioichagua CCM uchaguzi uliopita, sasa laana yao inaliangamiza taifa zima.
 
Kwa hakika mambo ni magumu kwa Tanzania yetu, lakini viongozi dhalimu wao wanaona sawa tu na wala hawawajibiki kwa lolote hata kama tumewapa dhamana kubwa hawajali.
 
Back
Top Bottom