Je! Naweza kuwashtaki Tanesco

Dumelang

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
3,194
5,598
Jamani wa jamii Forum naombeni msaada kama naweza kuwashtaki hawa Tanesco, hapa maeneo ya Tabata umeme hauna mgao, dakika moja unawaka, dakika moja haupo kwa siku unaweza kukatika na kuwaka hata mara saba, sasa najiuliza huu ni mgao au? na kama ndivyo mbona hauna ratiba? na kama sio huwa kuna raha au tatizo gani linalopelekea washa zima washa zima? tumeunguza vifaa nya umeme vingi

anyway! nisiandike mengi nahtaji msaada wa kisheria kama naweza kuwashitaki Tanesco kwani nimeunguza Computer yangu na nnahtaji fidia ya usumbufu.
nisaidieni
 
Waweza mshtaki hata rais seuze TANESCO , what matters ni kama shtaka lako liko sawa then u stand to win, otherwise u jus wastin ur time
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom