Okey nimekuelewani kweli zantel wanatumia cdma na modem zao hawaweki line kama ilivyo ttcl sijui wewe hiyo line ya zantel ya cdma umeitoa wapi, nina uhakika line uliyonayo ni ya gsm ambayo haikubali kwenye modem za cdma hata kama ni ya zantel wenyewe. Zantel wanatumia both gsm and cdma. Usijichanganye