msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
Zanzibar wanakumbuka siku ya mapinduzi ya zanzibar ya mwaka 1963
hapa kuna maadhimisho ya miaka 50 ya tanganyika,lakini wakati wa muungano tanganyika ilikufa kulingana na serikali inavyodai,kwa maana kwamba na zanzibar nayoi ilikufa??!!!
Kwanini kusiwepo na maadhimisho ya ya mapinduzi ya tanzania visiwani na uhuru wa tanzania bara?
Je tunaipotosha historia ya tanzania au mie ndio nachanganya mambo hapa na je kuna uwezekano wa kumshitaki anyeupotosha umma kwa vyombo vyake vya habari ikiwa ni pamoja na kumuita edward lowasa eti waziri mkuu mstaafu wakati alijiuzulu kwa tuhuma nzito na akautangazia umma na huyu msela j akamkubalia
hawa tbc 1 wanaudhi
hapa kuna maadhimisho ya miaka 50 ya tanganyika,lakini wakati wa muungano tanganyika ilikufa kulingana na serikali inavyodai,kwa maana kwamba na zanzibar nayoi ilikufa??!!!
Kwanini kusiwepo na maadhimisho ya ya mapinduzi ya tanzania visiwani na uhuru wa tanzania bara?
Je tunaipotosha historia ya tanzania au mie ndio nachanganya mambo hapa na je kuna uwezekano wa kumshitaki anyeupotosha umma kwa vyombo vyake vya habari ikiwa ni pamoja na kumuita edward lowasa eti waziri mkuu mstaafu wakati alijiuzulu kwa tuhuma nzito na akautangazia umma na huyu msela j akamkubalia
hawa tbc 1 wanaudhi