KANCHI
JF-Expert Member
- Sep 3, 2011
- 1,533
- 230
Jamani naombeni
msaada wa haraka,nilienda kutoa pesa kwenye ATM ya CRDB na palikuwa na
mtu ambaye alinielekeza mambo flani,na huyu mtu aliona namba yangu ya
siri,je ataweza kuniibia kwa namna yoyote pesa zilizobaki? Naomba
mnifahamishe kwa hili,ili kama kuna madhara yanayoweza kutokea
niwasiliane na CRDB wanisaidie kuiblock hadi wanitengenezee namba mpya.
NATANGULIZA SHUKRANI.
M2 wangu hawezi kukuibia mpaka awe na kadi yako pia.