Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
wana jamii, nahitaji msaada wenu juu ya hili! je naweza kosa haki yangu kwa kutokujua sheria? sikulipia mzigo wangu insuarance, now umepotea, naambiwa siwezi rudishiwa exact value ya mzigo wangu sababu sikuulipia insuarance! nifanye nini?