Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,283
"Siku zile amri ilitoka kwa kaisari Augusto kwamba iandikwe orodha ya watu wote wa ulimwengu" LUKA 2:1, Hii ina maana kila mtu alipaswa kurudi uyahudi kuhesabiwa.Yusufu na Maria nao wakatoka Galilaya kwenda kuhesabiwa.Na hilo ndilo chimbuko la utamaduni wa Wachaga kurudi kwao December. Je nawe umeenda kwenu kuhesabiwa?