ntita
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 513
- 285
Wana JF
Kuna mtu ameniomba nimtaftie taarifa kuhusu fani ya uuguzi, katika pitapita zangu nikakutana na tangazo la wizara ambalo pamoja na sifa nyingine linahitaji alama D katika somo la fizikia.
SWALI:
je sifa hii inavihusu vyuo binafsi pia? maana sifa nyingine ametimiza isipokuwa hakuchua fizikia kidato cha tatu na nne.
KAMA SI SIFA KWA VYUO BINAFSI TAFADHALI NAOMBA MAJINA NA MAHALI VYUO HIVYO VILIPO,
GHARAMA{uuguzi ngazi ya cheti} NA NAMNA YA KUJIUNGA NA VYUO HIVYO.
NB;
Vyuo hivyo viwe vimesajiliwa
natanguliza shukurani.
Kuna mtu ameniomba nimtaftie taarifa kuhusu fani ya uuguzi, katika pitapita zangu nikakutana na tangazo la wizara ambalo pamoja na sifa nyingine linahitaji alama D katika somo la fizikia.
SWALI:
je sifa hii inavihusu vyuo binafsi pia? maana sifa nyingine ametimiza isipokuwa hakuchua fizikia kidato cha tatu na nne.
KAMA SI SIFA KWA VYUO BINAFSI TAFADHALI NAOMBA MAJINA NA MAHALI VYUO HIVYO VILIPO,
GHARAMA{uuguzi ngazi ya cheti} NA NAMNA YA KUJIUNGA NA VYUO HIVYO.
NB;
Vyuo hivyo viwe vimesajiliwa
natanguliza shukurani.