mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Khartoum wameamua kuutolea uvivu utawala wa muda mrefu wa kidikteta wa Omar Bashir kwa kuwataka wananchi waamke na kuuangusha wazi wazi. Pichani askari wakitumia nguvu kuwatawanya wanafunzi ambao wamekuwa wakiandamana kwa siku tano mfululizo. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.