Je mwanaume mchoyo na bahili anafaa kuwa mume???.

Tena huyo amefanya kosa kubwa sana katika maisha yake huyo jamaa anamapenzi ya kweli kabisa na huyo dada anamapenzi ya pesa amekaa naye miaka tisa leo ndo ubahili unamshinda ana lake jambo huyo.

Wanawake tujifunze kujitegemea ana pesa halafu anataka za mwenzie za nini???

<br />
<br />
Rose sijaenda kushoto hata kidpgo mapenzi sio pesa bana mtu aakuja kukuona hospital wewe unadai hakuletei kitu? Yeye kuja ni muhimu kuliko pesa

HUYU DADA KWA VILE HAUMJUI DENA , hana mapenzi ya pesa hata kidogo, ila wasiwasi ni pale yeye atakapokuwa hana uwezo wa kupata pesa tena, iwe kwa kuumwa au, atawezaje kuishi bila hata support upande wa pili?<br /> Samahani Dena je haujisikii vizuri MUMEO anapokuletea japo pipi ya sh 10? tena bila hata kumwomba?<br />
Jaribu kuisoma vizuri huyu dada HANA MAPENZI YA PESA KWA HUYU KAKA, je mwenye mapenzi ya pesa angemvumilia huyu kaka miaka yote hii???.[

Siku akiwa haa pesa ndo atapewa na kutunzwa.

Mimi zawadi mmmmhhhhh labda lakn

Halafu mambo ya zawadi inategemea na mtu na mtu

<br />
<br />
Hebu niambie kipi bora atume pesa au Ribena halafu yeye mwenyewe asionekane

<br />
<br />
Mie sikubali kabisa kwanini mng'ang'anie mwanaume atoe? Mwanamke ukitoa kidogo kelele mpaka mtaa wa jirani. Miaka tisa mingi sana kashamzoea

Na mimi nasema hivi mapenzi sio vitu wala mali bali ni moyo

Mie nimeshasema anafaa sana huyo

Aweke mafuta shida iko wapi?

<br />
<br />
Bahati mbaya simu yangu haionyeahi batani ya thanks ningekugongea

<br />
<br />

Mie nawashangaa sana miaka tisa kacumilia leo yamemkuta yapi??

Dena narudia tena mwone kwanza ushungi ka muuza uduvi, mwe!

usiseme mwanaume mchoyo kwani wewe huwezi jitafutia huo ni ufisadi ,tafuta chako alafu uone kama atakuwa mchoyo.
pe patriotic its a grobal world tafuta chako upewe heshima but usiwa fisadi tutakuundia tume.
Umesoma thread vizuri mpendwa au umekurupuka tu, acha uvivu soma kwa makini na uelewe ee
 
Huyo mdada nimemvulia kofia miaka tisa (9)? au nimesoma vibaya ni siku tisa wajameni ee
 
Wanawake wa cku hizi wanadhani wanaume ni atm kwenye mapenzi ni kusaidiana usutegemee kupewa tuu jamani mubadilike.hela ni ngumu sana kwa hiyo msitegemee kupata kwa wanaume hata na nyie mnapaswa kutoa.ukitolewa outing lazima na wewe uchangie usiache mwanaume anunue tuu,
 
Wanawake wa cku hizi wanadhani wanaume ni atm kwenye mapenzi ni kusaidiana usutegemee kupewa tuu jamani mubadilike.hela ni ngumu sana kwa hiyo msitegemee kupata kwa wanaume hata na nyie mnapaswa kutoa.ukitolewa outing lazima na wewe uchangie usiache mwanaume anunue tuu,

Hebu waambie wakusikie
 
MATY, lol, SIYO SIKU TISA NI MIAKA TISA (9).... huyu dena sidhani kama anamaanisha nahisi anatania na haya majibu yake.
 
maty bora useme ww,,hata mi nahs ni cku tisa maana kubeba mzigo miaka 9 unaweza kufia njiani,,,,achana na dena mi namwelewa


Msimamo wangu uko pale pale WL toa pesa jaza mafuta shida nini bana?? Hebu acheni kujiendekeza ha hah aha ha ha
 
MATY, lol, SIYO SIKU TISA NI MIAKA TISA (9).... huyu dena sidhani kama anamaanisha nahisi anatania na haya majibu yake.
Dena huyo mi nishamzoea bana siku ya wajinga ya mwaka huu imemuathiri sana na msishangae akaendelea hivi hivi mpaka April 1, 2012 msameheni bure.

Jamani huyo dada miaka tisa alikua kipofu au? mi nilishawahi kutana na mbaba wa hivyo nilimpa miezi 6 tu nikamtimua, hivi huyo dada miaka tisa hakyanani mwe!
 
Wanawake wa cku hizi wanadhani wanaume ni atm kwenye mapenzi ni kusaidiana usutegemee kupewa tuu jamani mubadilike.hela ni ngumu sana kwa hiyo msitegemee kupata kwa wanaume hata na nyie mnapaswa kutoa.ukitolewa outing lazima na wewe uchangie usiache mwanaume anunue tuu,

nadhani hujasoma thread ukaielewa,,,,
 
Dena huyo mi nishamzoea bana siku ya wajinga ya mwaka huu imemuathiri sana na msishangae akaendelea hivi hivi mpaka April 1, 2012 msameheni bure.

Jamani huyo dada miaka tisa alikua kipofu au? mi nilishawahi kutana na mbaba wa hivyo nilimpa miezi 6 tu nikamtimua, hivi huyo dada miaka tisa hakyanani mwe!


Ha ha ha ha bado unahasira ya siku ya wajinga ulivyonitumia sms ya kushituka nikakwambia siku ya wajinga ukataka kuzimia??? Pole mie niko siriazi kweli ujue Maty hebu acheni mambo hayo bana
 
Msimamo wangu uko pale pale WL toa pesa jaza mafuta shida nini bana?? Hebu acheni kujiendekeza ha hah aha ha ha

once in a blue moon nitaweka!!yani kama hiyo case ya hosp,,,ningempa notice nikiwa wodini,,,lolz
 
lol WISELADY ni kweli kabisa miaka tisa ni mingi sana, lakin aliweza ksb ya upendo alidhani labda engebadilika lakin hakuna mabadiliko,
na jibu la mama mkwe ndiyo lilimpa ukweli kabisa kuwa asahau kuhudumiwa ksb hata yeye hajawahi kuhudumiwa na mumewe kwa maisha yote waliyoishi waoote, huduma zoooooote anatoa mama isipokuwa ada tu ndiyo baba analipa.
Je maisha ya sasa hivi ni ya kuachiwa huduma mtu mmoja tu kibaya zaidi huyo mwenza wako akiwa nazo tu, bora hata kama masikini utasema kweli navumilia au hata kama ni mjane utasema ngoja tu njijipinde ksb mwenzangu hayupo,,,lakin yupo, pesa anayo ila kwako tu hataki mshirikiane,,,yeye anahudumia nduguze basi mke mpenzi jihudumie mwenyewe na nihudumie na mimi,,je kuna usawa hapo??? maisha yalivyobana hivi??? MAISHA KUSHIRIKIANA BWANA....
 
ha ha ha ha hah a eti ungempa notisi ukiwa wodini,,,du !!! wiselady wee kiboko......
lakin unadhani ukipenda unadhani unaweza kuwaza hivi??? kupenda upofu ....
 
lol WISELADY ni kweli kabisa miaka tisa ni mingi sana, lakin aliweza ksb ya upendo alidhani labda engebadilika lakin hakuna mabadiliko,
na jibu la mama mkwe ndiyo lilimpa ukweli kabisa kuwa asahau kuhudumiwa ksb hata yeye hajawahi kuhudumiwa na mumewe kwa maisha yote waliyoishi waoote, huduma zoooooote anatoa mama isipokuwa ada tu ndiyo baba analipa.
Je maisha ya sasa hivi ni ya kuachiwa huduma mtu mmoja tu kibaya zaidi huyo mwenza wako akiwa nazo tu, bora hata kama masikini utasema kweli navumilia au hata kama ni mjane utasema ngoja tu njijipinde ksb mwenzangu hayupo,,,lakin yupo, pesa anayo ila kwako tu hataki mshirikiane,,,yeye anahudumia nduguze basi mke mpenzi jihudumie mwenyewe na nihudumie na mimi,,je kuna usawa hapo??? maisha yalivyobana hivi??? MAISHA KUSHIRIKIANA BWANA....

inawezekana ni katabia kakwao ka urithi,maisha ni kusaidiana vinginevyo ni kujibebesha msalaba,,,,mwambie huyo rafikio amkabidhi kijiti dena yy apumzike
 
Msaranga, soma tena thread, nahisi HAUJAIELEWA,,,,,kwani KAMA NI KUTOA HUYU DADA ANATOA SANA SANA SANA NA ZAIDI YA KUTOA,,
NA WALA HATAKI,HATEGEMEI KUMFANYA HUYU JAMAA ATM YAKE,,,ANACHOTAKA YEYE NI KUSHIRIKIANA KTK MATUMIZI.
HATA AWE MBALI KIASI GANI LAZIMA BOYFRIEND WAKE ATAMJALI KWA GHARAMA YOYOTE ILE,,,
sasa jamani hata pipi ya sh 20 kwa miaka yote tisa,,akiomba basi ni U ATM???? hapo sasa sielewi kabisaaaaaaaa
 
ha ah hahaha,,DENA je upo tayari kupokea kijiti hiki????
 
Back
Top Bottom