Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Tena huyo amefanya kosa kubwa sana katika maisha yake huyo jamaa anamapenzi ya kweli kabisa na huyo dada anamapenzi ya pesa amekaa naye miaka tisa leo ndo ubahili unamshinda ana lake jambo huyo.
Wanawake tujifunze kujitegemea ana pesa halafu anataka za mwenzie za nini???
<br />
<br />
Rose sijaenda kushoto hata kidpgo mapenzi sio pesa bana mtu aakuja kukuona hospital wewe unadai hakuletei kitu? Yeye kuja ni muhimu kuliko pesa
HUYU DADA KWA VILE HAUMJUI DENA , hana mapenzi ya pesa hata kidogo, ila wasiwasi ni pale yeye atakapokuwa hana uwezo wa kupata pesa tena, iwe kwa kuumwa au, atawezaje kuishi bila hata support upande wa pili?<br /> Samahani Dena je haujisikii vizuri MUMEO anapokuletea japo pipi ya sh 10? tena bila hata kumwomba?<br />
Jaribu kuisoma vizuri huyu dada HANA MAPENZI YA PESA KWA HUYU KAKA, je mwenye mapenzi ya pesa angemvumilia huyu kaka miaka yote hii???.[
Siku akiwa haa pesa ndo atapewa na kutunzwa.
Mimi zawadi mmmmhhhhh labda lakn
Halafu mambo ya zawadi inategemea na mtu na mtu
<br />
<br />
Hebu niambie kipi bora atume pesa au Ribena halafu yeye mwenyewe asionekane
<br />
<br />
Mie sikubali kabisa kwanini mng'ang'anie mwanaume atoe? Mwanamke ukitoa kidogo kelele mpaka mtaa wa jirani. Miaka tisa mingi sana kashamzoea
Na mimi nasema hivi mapenzi sio vitu wala mali bali ni moyo
Mie nimeshasema anafaa sana huyo
Aweke mafuta shida iko wapi?
<br />
<br />
Bahati mbaya simu yangu haionyeahi batani ya thanks ningekugongea
<br />
<br />
Mie nawashangaa sana miaka tisa kacumilia leo yamemkuta yapi??
Dena narudia tena mwone kwanza ushungi ka muuza uduvi, mwe!
Umesoma thread vizuri mpendwa au umekurupuka tu, acha uvivu soma kwa makini na uelewe eeusiseme mwanaume mchoyo kwani wewe huwezi jitafutia huo ni ufisadi ,tafuta chako alafu uone kama atakuwa mchoyo.
pe patriotic its a grobal world tafuta chako upewe heshima but usiwa fisadi tutakuundia tume.