Je mwanaume mchoyo na bahili anafaa kuwa mume???.

ROSE1980 upo sahihi kabisa, eti pesa yake ni yake peke, na ya mwanamke ni ya wote....
Maisha jamani si ni kusaidiana, au ni kusaidiwa tu??

Yeye huwa anampa kwa upendo tu , mfano akienda safarii anaweza kumwambia mpenzi wangu nilitaka leo tupate dinner pamoja lakin kwa vile nipo mbali ntakutumia pesa ukapate dinner popote japo sipo jisikie tupo pamoja, ndiyo mojawapo ya stahili anayompa kumpa pesa, kuonesha kuwa anamjali japo yupo mbali naye.

mwambie heri nusu shari,kashavumilia vya kutosha atue mzigo sasa wanaume wa mungu wako wengi,,,,huyo akiingia nae kny ndoa ataweka mikono kichwani
 
Hapo dada kimbia fasta..
Ata mimi nshawai kua na tabia hiyo kwa dem.. Kifupi no love, he have some 1
 
Na mimi nasema hivi mapenzi sio vitu wala mali bali ni moyo

hey hey hey!dena kuna mahali unamiss kitu,,,tatizo siyo mapenzi ya vitu lkn hebu niambie huyo mwanaume responsibility yake anaionyesha kny nn maana huyo dada tumeona.
 
Hapo dada kimbia fasta..
Ata mimi nshawai kua na tabia hiyo kwa dem.. Kifupi no love, he have some 1



dah kweli?
kwaiyo ulikuwa umpiu ata sh kumi?
na ulkuwa unamuomba yeye daily?
cm mpk akuanze ....?
tupe swaga ulikuwa unafanyaje?
ili tukion skuingne tujue mhh i ni dalili za malaria
 
  • Thanks
Reactions: PAS
hey hey hey!dena kuna mahali unamiss kitu,,,tatizo siyo mapenzi ya vitu lkn hebu niambie huyo mwanaume responsibility yake anaionyesha kny nn maana huyo dada tumeona.
<br />
<br />
Kwenda hospital, kumpeleka safari zake. Uliza tena
 
Kwenda nospital, kumpeleka safari zake. Uliza tena







sema vzuri...kumpeleka safar zake mpk demu atoe ela ya wese ...ivi ata rafik tu wa kawaida una tatizo unamwomba lft na unajua mafuta anayo afu anakuambia weka mafuta ..mh utaendelea?
km hana unajua hana lakin unajua yupo poa ila ndoivo tia mafuta twende wakat we daily wampa tafu...pananoga?


mi sjui lakin ....HAFAI.
 
<br />
<br />
Kwenda hospital, kumpeleka safari zake. Uliza tena

kumpeleka safari zake halafu achangie mafuta daily?ni mpenzi dreva tax?kwenda hosp without?utamtofautishaje mpenzi na mtu baki tena stranger?
 
sema vzuri...kumpeleka safar zake mpk demu atoe ela ya wese ...ivi ata rafik tu wa kawaida una tatizo unamwomba lft na unajua mafuta anayo afu anakuambia weka mafuta ..mh utaendelea?<br />
km hana unajua hana lakin unajua yupo poa ila ndoivo tia mafuta twende wakat we daily wampa tafu...pananoga?<br />
<br />
<br />
mi sjui lakin ....HAFAI.
<br />
<br />

Anafaa kabisa huyo
 
sema vzuri...kumpeleka safar zake mpk demu atoe ela ya wese ...ivi ata rafik tu wa kawaida una tatizo unamwomba lft na unajua mafuta anayo afu anakuambia weka mafuta ..mh utaendelea?
km hana unajua hana lakin unajua yupo poa ila ndoivo tia mafuta twende wakat we daily wampa tafu...pananoga?


mi sjui lakin ....HAFAI.

hivi rose wanaume watakuwa wameisha?better stay single aisee!nahs dena anauona ukweli lkn ameamua kubisha maana namjua ubishi ni jadi yake
 
Miaka yote tisa urafiki? Leo ndo anaona kero imezidi? Ana lake jambo huyu. Kuna mtu kamlinganisha na kuona afadhali huyu. Mbona sisi huwa tunatoa kwa gf miaka na miaka wao hawatoi hata kitu na hatulalamiki? Ukiona hasi, jua kuna chanya pia!
 
hivi rose wanaume watakuwa wameisha?better stay single aisee!nahs dena anauona ukweli lkn ameamua kubisha maana namjua ubishi ni jadi yake




MI NASHNDWA KUELEWA
cz dena najua ni kichwa anajua A -Z ya kitu sasa leo kujifanya amesahau akil zake bafun wakat anaoga mi achoka kabsa:bored::bored:
 
hivi rose wanaume watakuwa wameisha?better stay single aisee!nahs dena anauona ukweli lkn ameamua kubisha maana namjua ubishi ni jadi yake
<br />
<br />
Bahati mbaya simu yangu haionyeahi batani ya thanks ningekugongea
 
MI NASHNDWA KUELEWA <br />
cz dena najua ni kichwa anajua A -Z ya kitu sasa leo kujifanya amesahau akil zake bafun wakat anaoga mi achoka kabsa<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/bored.gif" border="0" alt="" title="Bored" smilieid="135" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/bored.gif" border="0" alt="" title="Bored" smilieid="135" class="inlineimg" />
<br />
<br />

Labda valuu zimefika mahala pake
 
MI NASHNDWA KUELEWA
cz dena najua ni kichwa anajua A -Z ya kitu sasa leo kujifanya amesahau akil zake bafun wakat anaoga mi achoka kabsa:bored::bored:

ili ujue kuwa tuko nae kundi moja hebu msome hapo juu,,,,mi naona huyu dada ana ile love is blind i wish ningemuona nimtunuku
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom