Ndugu zangu, kwa experience niliyonayo nimegundua kuwa ndoa inayohusisha mwanamke ambaye ni nurse inakuwa mateso. Kama mjuavyo hawa manurse wanakuwa na 'night' na nimegundua kupitia hzo night hawa wanawake huwasaliti waume zao kwa kutembea na madaktari! Mwanamke anaweza kuwa mwaminifu kwa kipindi flani kwenye ndoa lakini kulingana na nature ya kazi yake kuwa na 'night' anajikuta ashaingia kwenye vishawishi! Naomba sana kwa wanaume ambao wameo manurse na wameishi nao kwa zaidi ya miaka 15, watujuze ni kwa jinsi gani wameweza kukabiliana na hizi challenges.