jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,987
- 22,515
Mwanafalsafa wa Kijeruman Arthur Schopenhauer aliyeishi kati ya miaka ya 1788-1860 aliwahi kusema.
"Ukweli Wowote hupitia Ngazi tatu.
Kwanza ngazi ya kukejeliwa.
Pili,ngazi ya Kupingwa na hata ikibidi damu kumwagika .
Tatu, ni Ngazi ya Kukubalika ,kwa kuwa ukweli hujisimamia wenyewe"
Richmond ,Lowassa , na Mafisadi sasa wapo hatua ya ngapi?
Mkuu angalia wasije kusema umesema DAMU IMWAGIKE!
WATA KU JMUSHI..BE WARE!
UCHUNGU WAKE HAUUFAHAMU.