Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
kikwete is losing control ya nchi na ya chama.
kikwete anaunda tume ili kubabaisha watu na tume ikitoa jibu anababaisha kutekeleza yaliyogundulika.
akiona nchi imekaa pabaya, anatafuta safari anakwenda nje kwanza, angalau kwa siku mbili tatu anaacha kusikia kelele za epa.
tulichoambiwa kelele za mlango sasa naona zimeanza kuwakosesha wakuu usingizi.
nb; baada ya wiki moja kikwete anaruka kuelekea mkutano wa G8 japan.
kikwete anaunda tume ili kubabaisha watu na tume ikitoa jibu anababaisha kutekeleza yaliyogundulika.
akiona nchi imekaa pabaya, anatafuta safari anakwenda nje kwanza, angalau kwa siku mbili tatu anaacha kusikia kelele za epa.
tulichoambiwa kelele za mlango sasa naona zimeanza kuwakosesha wakuu usingizi.
nb; baada ya wiki moja kikwete anaruka kuelekea mkutano wa G8 japan.