Mtu amejengwa na 40% kurithi na 60% mazingira, hapo naongelea kila kitu katika mtu! kuanzia muonekano hadi hiyo tabia![/QUOTE
I have no problem with this! We are born tabula rasa subjected to env, yes 40/60 its ok!!
kuna watu wanakuwa na roho mbaya toka wako tumboni.