FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
pdidy mbona unataka kuvunja ndoa za watu?
Kuna hii stori niya kweli..Jamaa mweusi alikuwa ameoa mzungu na wana watoto wawili, baada ya kushinikizwa na ndugu na majirani akafanya paternity tests na kukuta watoto wote wawili si wa kwake.Baada ya muda jamaa akaoa mzungu tena baada ya kupata mtoto mmmoja jamaa akaenda kupima this time bila kuambia na mtu yoyote,kupewa matokeo mtoto si wa kwake TENA.Kama ni wewe bado utandelea kungangania ni wa kwako kwasababu wamezaliwa kwenye himaya yako?As long as huyo mtoto yupo ndani ya himaya yangu ni wa kwangu, hata kama ikigundulika miaka 15 baadae si wa kwangu kimsingi nitakuwa tayari nimeshakuwa baba yake.
Kwa upimaji wa vinasaba.Nani 99.999% sahihiDah. Nitajuaje sasa kama ndio ni wangu???
Mkuu nipe Maana ya kuitwa Baba??
ni lazima awe mtoto wako??mi nina katoto cha jiran kananiita baba mdogo sijui nakosea kujibu..msaada tafadhali
Hapa mi sijaelewa musee......Majibu ya hekima ni busara kwa anaesubiri ndoa
kwa mkemia mkuu!usiwakatishe tamaa hao wanaosuburi kuishi maisha ya ndoa. hiyo huwa ni siri ya moyo. hizo 44.77asilimia umezitoa ktk chanzo kipi..?
anaweza awe ni wa kaka yako....Hapa mi sijaelewa musee......
Ila nilienae amefanana na mimi so naamini ni wangu mwenyewemwenyewe...
ndo maana buhaya mama yako akifariki pamoja na kupewa pole pia unapewa hongera maana katika uhai wake kuna siku zote kuna risk ya baba kumuudhi akalipuka na kukwambia 'hivi we kanyigo alokwambia ta rutta ndo babako nani.....hebu kaangalie pua yako yako kwenye kiooo'....it happenshdi sasa siamini kama baba yangu ndiye ata mama yangu anajua hilo,niliwahi kusema waziwazi mbele yao(wazazi) nikiwa darasa la saba.
Kwani huna kama?Hapa mi sijaelewa musee......
Ila nilienae amefanana na mimi so naamini ni wangu mwenyewemwenyewe...