Prime Dynamics
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 551
- 249
Mtoto ni baraka katika familia husika lakini pia anaweza (mtoto) kuwa chanzo cha kupunguza kasi ya mapenzi kati ya wanandoa. Hali hii huanza baada ya mwanamke kubeba mamba, kwavile mara nyingi huwa na hali ya kuchagua vitu au anachotaka tofauti na mwanzo wa mausiano.
Mtoto akipatikana huja na maitaji yake amabayo yanaffect energy level ya mwanamke, kamavile kuamka usiku mara kwa mara kumhudumia mtoto, kama vile kumbadilisha ngua nk. Hali kama hii hubadili nguvu za mwanamke ndani ya nyumba na inakua ngumu kuattentive kama mwanzo wa mapenzi. Hali huwa mbaya zaidi kama mwanamke hana msichana wa kumsadia kazi za nyumbani. Na pia mtoto huja na financial implications abazo huondoa au kupunguza ile hali ya kwenda kupata chakula cha jioni sehemu (out for dinner) au kuletewa zawadi kama hapo mwanzo wa mausiano.
Mimi nadhani hapo ndio hitilafu ya mapenzi inapoanzia kwa wapendanao.
Mtoto akipatikana huja na maitaji yake amabayo yanaffect energy level ya mwanamke, kamavile kuamka usiku mara kwa mara kumhudumia mtoto, kama vile kumbadilisha ngua nk. Hali kama hii hubadili nguvu za mwanamke ndani ya nyumba na inakua ngumu kuattentive kama mwanzo wa mapenzi. Hali huwa mbaya zaidi kama mwanamke hana msichana wa kumsadia kazi za nyumbani. Na pia mtoto huja na financial implications abazo huondoa au kupunguza ile hali ya kwenda kupata chakula cha jioni sehemu (out for dinner) au kuletewa zawadi kama hapo mwanzo wa mausiano.
Mimi nadhani hapo ndio hitilafu ya mapenzi inapoanzia kwa wapendanao.