Je mtihani wa mwisho ni kipimo sahihi

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,001
Mitihani ya darasa la 7,form4,form6,inayotolewa na necta,unadhani ni kipimo cha mwanafunzi bora,yani elimu ya cheti.
 
Ahh Bumija kitambo sana sijaona maswali na michango yako JF,vipi na wewe ulienda kumsupport Cameron kuhusu haki za mashoga nini???

Okay,back to the topic ni kwamba NECTA inabidi ibadilishe mfumo kwani huwezi kugundua au kuujua uwezo halisi wa mwanafunzi kwa kutumia mitihani ya wiki moja au mbili.
 
Ahh Bumija kitambo sana sijaona maswali na michango yako JF,vipi na wewe ulienda kumsupport Cameron kuhusu haki za mashoga nini???

Okay,back to the topic ni kwamba NECTA inabidi ibadilishe mfumo kwani huwezi kugundua au kuujua uwezo halisi wa mwanafunzi kwa kutumia mitihani ya wiki moja au mbili.
Labda ni njia gani mmbadala inaweza kutumika?
 
Mwangu assignment na msuli vinabana,ni adimu mana kuanzia monie hadi sa night mapindi.
 
Mwangu assignment na msuli vinabana,ni adimu mana kuanzia monie hadi sa night mapindi.

kaza kijana umalize huje ule bench kitaa kaka zako wanasugua mbaya tena na hizo BA ndio noma zaidi bora BSC.
 
Kwanza elimu ya bongo kuanzia chekechea mpaka chuo imechakuliwa mno....yani ipo hovyo-hovyo sana.
Waziri wa elimu ana uwezo wa kulala na mke wake, wakamwangalia mtoto wao wa kike au wakiume na kuona hapendi mpira(ye na game game na yeye), basi akaja na kutangaza michezo hamna. Toto likiwa kilaza kesho utasikia, hesabu zifutwe mashuleni.

Just angalia mitaala inavyochange kila uchao, serikali kwa sasa haina hela, wakasema mitihani ya darasa la 4 na form 2 waafute, baadae walivyoona wameikwaa wameirudisha tena wakati serikali ipo hali mbaya. Vipi ulishagundua mitihani ya form 4 mwaka huu imefanyika ndani ya wiki 1 tu. 7 days equivalent to 4 yrs!! Ilimradi wanafunzi wakakae nyumbani kwani serikali haina hela ya kuwalipa walimu wasimamizi.

Elimu uchwara inayotolewa tanzania kwa sasa haina future, most of us tunategemea kuajiriwa, idadi inatisha ya jobless people huku kitaa, waliopo makazini zaidi ya 50% wana vyeti bandia, uswahili mwingi kwenye taasisi, elimu duni...yaani mambo mengimengi tu.
 
Back
Top Bottom