CHADEMA wanaangalia zaidi QUALITY AND NOT QUANTITY. Tulishasema hatumchagui mtu kwa kabila lake wala dini yake na hata anatokea kanda gani. hizo hazina nafasi katika dunia ya werevu. ni mawazo yetu ndo yanauona huo ukaratu but kwangu binafsi naunga mkono ubora wa mtu na si atoka wapi.
Hata mimi nashangaa sana. Inaonyesha haya yote yanawekwa pembeni linapokuja suala la Chadema. Mtu anapendekeza Uchaguzi uanze upya sijui kwa kutumia sheria na taratibu zipi? Unaposema haraka haraka, mimi sijasikia Chadema wakiongelea hili bali ni Maafisa wa NEC walioongea habari hizi tena sio officially.Siyo ulichosikia, huo ndio utaratibu ulivyo na haujaanza leo, kumbuka hata Geturde Lwakatare aliingia bungeni baada yakifo cha Salome Mbatia, na yeye katika ile orodha jina lake ndio lilikuwa linafuatia.
Kumbe huyu Kakakiiza ni sehemu ya vilaza hapa JF? mbona hakuwahi kuhoji kwa nini mkoa wa Morogoro uwe na wabunge wa viti maalum wawili Regia Mtema na Suzan Kiwanga wakati mkoa wa Lindi hauna hata mbunge mmoja wa viti maalum!!?? huku ni kufikiri kwa kutumia kijambio.
Wewe na Kakakiiza kuna majukwaa yenu maalum mmetengewa humu naomba mtupishe hakuna unaloweza kuchangia hapa, nenda MMU kule utamkuta mwenzio kakakiiza kutwa wao kuongelea ngono, kaanzisha thread hapa halafu yeye kakimbilia jukwaa la MMU pimbi kabis huyu.Kwahiyo wenye ubora wote wanatoka kaskazini? Jibu hapo!
Duh Mkuu unanichekesha sana, hivi uelewa wako ndio umeishia hapo? Walichofanya kipi sana hapo kwenye bold? Au umevamia mada tu? Umeambiwa kazi yote sasa hivi inafanywa na NEC sasa kosa la Chadema ni kumweka Cecilia kwenye nafasi ya 26? Majungu tuNakuunga mkono KK. CDM iajipaka matope chenyewe badala ya kusubiri kipakwe matope na opponents. Walichofanya siyo rahisi kueleweka
karatu? Duu. Hiv mtwara, lindi, pemba, unguja, nk kuna wawakilishi wowote wa viti maalum. Mi binafsi sio haja ya kuwa na wabunge 2 moja wakati kuna sehemu nyingi hakuna hata mbunge. Kama cdm wanataka kujitanua na wanadhamira ya kweli! Sisem mingi nicje nikashambuliwa.
Channel TEN
Mods turudishieni LIKE ili tuweze kulinganisha comment za wachangiaji maana ni sasahivi nime like sasa hivi siioni!!au nikutoa maana ya thread??