Smarter
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 527
- 110
1. Je kuna grace period ya muda gani mpangaji anaruhusiwa kisheria kukaa kwa mwenye nyumba baada ya mkataba
kuisha? wakati akitafuta nyumba?
2. Je ni haki kudai resit ya malipo ya kodi, na kuhakikisha mwenye nyumba amelipa 10% ya mapato kwa TRA?
3. Sheria ipi inalinda mwenye nyumba na Mpangaji. mwenye nayio naomba anitumie.
Asanteni
kuisha? wakati akitafuta nyumba?
2. Je ni haki kudai resit ya malipo ya kodi, na kuhakikisha mwenye nyumba amelipa 10% ya mapato kwa TRA?
3. Sheria ipi inalinda mwenye nyumba na Mpangaji. mwenye nayio naomba anitumie.
Asanteni