William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Tusiliangalie kiushabiki swala hili.
Kwa mujibu wa kanuni za bunge nasikia ni marufuku kwa mbunge au bunge kujadili mwenendo wa raisi bungeni au nje ya bunge.
Je kanuni hii inagusa mienendo binafsi yani ya raisi na mkewe na watoto wake au ata mienendo inayoweza kuigarimu nchi kama kutafuta ugonvi na nchi jirani kama ilivyokuwa kwa hitra idd amin na wengine?
Pia katiba hairuhusu raisi kustakiwa mahakamani akiwa madarakani au akistaafu. Je raisi akianza wizi wa waziwazi au kulinda wezi mtamrekebishaje?
Kuwa na sheria zisizotenda haki ni hatari. Sheria zilinde watu kwa manufaa ya Umma. Kama inamlinda raisi iwe kwa manufaa ya wananchi wote. Lkn kama raisi akipotoka akifanya kwa maslahi yake yanini kuzifuata shelia. Raisi ni Nafsi mmoja tu. Umuhimu wake upo tu kwa manufaa ya uma. Ila kama ataenda atakavyo turudi nyuma tuone mwonekano wake kuwa Thamani ya nafsi yake na ya masanja mNG'WINAMILA yule kichaa anayekuwa anakula majalalani ni sawa? Zote zilindwe kwa nguvu zote
Kwa mujibu wa kanuni za bunge nasikia ni marufuku kwa mbunge au bunge kujadili mwenendo wa raisi bungeni au nje ya bunge.
Je kanuni hii inagusa mienendo binafsi yani ya raisi na mkewe na watoto wake au ata mienendo inayoweza kuigarimu nchi kama kutafuta ugonvi na nchi jirani kama ilivyokuwa kwa hitra idd amin na wengine?
Pia katiba hairuhusu raisi kustakiwa mahakamani akiwa madarakani au akistaafu. Je raisi akianza wizi wa waziwazi au kulinda wezi mtamrekebishaje?
Kuwa na sheria zisizotenda haki ni hatari. Sheria zilinde watu kwa manufaa ya Umma. Kama inamlinda raisi iwe kwa manufaa ya wananchi wote. Lkn kama raisi akipotoka akifanya kwa maslahi yake yanini kuzifuata shelia. Raisi ni Nafsi mmoja tu. Umuhimu wake upo tu kwa manufaa ya uma. Ila kama ataenda atakavyo turudi nyuma tuone mwonekano wake kuwa Thamani ya nafsi yake na ya masanja mNG'WINAMILA yule kichaa anayekuwa anakula majalalani ni sawa? Zote zilindwe kwa nguvu zote