Je, Mmiliki wa Lake Oil ni nani?

jamani hivi kweli ahtuwezi kuamua kuitoa serikali hii iliyopo au ndio kusema jeshi letu haliana uwezo wakushirikiana wa wananchi kuitoa hii serikali iliyokufa kiakili, kimawazo? nawaombeni tujadili jinsi yakuiondoa hii serikali kwa kipindi hiki
 
Hizo ni taarifa sahihi kabisa. Kuna data tunazikamilisha tutazimwaga humu wakati wowote kuonyesha ufisadi wa huyo dogo akishirikiana na baba yake. Stay tuned.
Mkuu nilikuwa napita tu nikaona nikusalimie, tutaonana siku nyingine utakapotujuza kuhusu akina RACHEL wapya.
 
mimi nasema sina uhakika kama historia ya tanzania haitobadlikia!!!

Amani bila haki ni uchizi!!!!
 
ndio maana baba yake kakaa kimya sakata la ukosefu wa mafuta
Pia lake oil haohao wana mitambo ya kuchakachua mafuta.. kwahiyo huyo dogo riz anakula faida mara 2...duu baba mtu kakaa kimya na mwanae wanauma na kupuliza
 
Hiyo cha mtoto........ BIG BORN YA NANI..?? Ile kampuni ya logidtics iliyoko Mbagala karibu na mnara wa Airtel ni ya nani..???
 
Haya sasa, wenzake waliomaliza nao majuzi tu hawana hata kiwanja tu cha uswahilini pa kujengea nyumba.

Lakini sitoshanga kusikia magari ya na vituo vya mafuta vya Lake oil ambavyo ni wazi vimepatikana kwa njia ya UFISDI, vyote vimetiwa kiberiti nchini.


Kuna taarifa kwamba riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010. Kumbe ndo maana jamaa wana jeuri ehhhh. Du hata jk ana tenda ya kusupply mafuta serikali ya burundi ndo maana mama alikuja kumsalimia mshirika wa mumewe (nkurunziiza) hivh majuzi....
 
Tunataka mafuta tukaendelee kubangaiza, wanataka ionekane issue ya mafuta haiwezi kuwa regulated ili watunyonye vizuri, yule jamaa kawapa 24 hrs notice serikali waombe radhi masebu anakuja na vi tamko. Hivi yule jamaa enzi za Nyerere aliyesema ameiweka serikali mfukoni na huyu anaetoa onyo tena na notice fupi ya masaa 24 akitaka serikali maana yake mkuu wake ni Rais inakuwajekuwaje mi mwenzenu mbona sielewi? Nyerere hivi alifanyaje tena. ni madhara gani au faida gani alizozipata baada ya kumtimua yule jamaa kiasi cha kuwatisha viongozi wetu wa sasa?
Nyerere aliamuru awekwe ndani mara moja na kujibu mashtaka ya kuidharau serikali
Ni baada ya kusema serikali Yote ipo mfukoni kwake,nimesahau ni raia wa nchi gani lakini nchi yake ilimpigia magoti nyerere ili amwachie,
Alikuja kuachiwa kwa sharti la kutokanyaga tanzania tena
 
yule mbunge aliesema serikali legelege hajakosea kabisa. hatuna serikali hapa tuna mfano wa watu walio ikulu wakichuma kama wanavyotaka
 
Hizo ni taarifa sahihi kabisa. Kuna data tunazikamilisha tutazimwaga humu wakati wowote kuonyesha ufisadi wa huyo dogo akishirikiana na baba yake. Stay tuned.
<br />
<br />
Tunasubiri taarifa hizo kwa hamu maana tunataka kudhibitisha jinsi serikali hii ilivyoshindwa kuongoza badala yake wanaimarisha familia zao kiuchumi.Kama ni hivyi si ni bora wakae kando wakafanye biashara zao.
 
KINACHOTUTAFUNA TANZANIA HADI HIVI SASA NCHINI NI UKOSEFU WA UONGOZI
ADILIFU NA KUKOSEKANA UTAWALA BORA KIUTENDAJI


Ni ajabu na kweli kuona jinsi ambavyo watawala wanavyoenenda katika shughuli zao za kila siku. Kama mtu bado huamini tu basi hebu tu wewe mwenyewe tupe JIBU hapa jukwani.

Hebu jaribu kutufahamisha kama kweli hali halisi kama ilivyoainishwa hapo chini kweli itasaidia kukuza MASLAHI YA UMMA katika nchi hii au ni ukuta wa kuendeleza MASLAHI BINAFSI kwa kutupora sisi kama taifa:

1. Kikwete Mwenyekiti wa CCM

2. Amuagiza Kikwete Rais na Kiongozi wa Serikali

3. Kumamrisha yule Kikwete Mfanyabiashara wa mafuta pale Lake Oil akapunguze bei ya mafuta.

Ewe Mzee Wassira, kwa nini hamkuliona hili na kumshauri mkuu wa nchi; DHANA YA UTAWALA BORA sasa uko wapi hapa???

Mzee Simbeye, Wakuhenga, Warioba, Kubenea, Mjengwa na Jenerali Ulimwengu, nyinyi kama wakosoaji wa jamiiyetu hii hili hamkuliona???????

Kweli kabisa mtu ukijitwisha kofia hizi zote tatu na kujizivalia umaridi kabisa wewe mtu mmoja tu, Dr Hosea, kweli bado kunakosekana hali ya MGONGANO WA KIMASLAHI ambao hivi sasa inasababisha Watanzania tuliowengi kuwa WALAZWAHOI.

Hapana, Hapana na Hapana; hatutaki tena wala hutusikii cha mtu hapa - ulaghai na ufisadi sasa basi mwishoooo!!!! Mpaka hapa wala mtu huitaji kuwa na elimu ya hata sekondari kugundua kwa nini mambo kila siku hayaendi kwa njia nyoofu huko serikalini badala yake watu kuzunguka tu mbuyu; kumbe kuna Joka kuu katamalaki na kuenea kila kona!!!

Watanzania wenzangu, ni kati ya Kikwete yupi kati ya hao watatu atakayeweza kupata kweli ujasiri na uhalali wa kumdhibiti yule Kikwete mwingine?????

Mbona tunachezewa shere siku zote hivi nchini na bado tu watu hatuoni haya yote????????????? Je baada ya kusoma na kutafakari haya niliyoyaandika hapo juu:

1) Je, bado unayo imani na Hoja ya Dharura ya Januari Makamba kule bungeni Dodoma??

2) Je, bado unategemea kusikia kutolewa kwa agizo lolote na serikali yetu na ikazingatiwa???

3) Je, mpaka hapo bado unaamini kuwa EWURA ni chombo cha kulinda maslahi yetu Umma wa Tanzania????

4) Je, kwa hiyo hali hapo juu na ukipiga picha na kwingineko kama eneo la matatizo sugu ya maji, maliasili na umeme nchini bado tu utakua unaamini kweli kwamba Dr Hosea bado anayo meno ya kuweza kutafuna mtu au kampuni yoyote hapa nchi kwa madai ya UFISADI???????????????????

Tafakari zaidi na zaidi na mwisho ujishauri mwenyewe jinsi UTAKAVYOTUMIA HAKI YAKO YA KUPIGA KURA siku za usoni!!!!!!!!!!

Hizo ni taarifa sahihi kabisa. Kuna data tunazikamilisha tutazimwaga humu wakati wowote kuonyesha ufisadi wa huyo dogo akishirikiana na baba yake. Stay tuned.
 
uenda ni kweli hata Magufuri alisema anashangaa kuona sehemu ya pale soko kuu la ndizi au aka big brother kuna vituo vya mafuta wakati ni sehemu ya mabasi yaendayo kwa kasi lol!
 
muhimu kutuwekea hizo data huku tuone manake hayo n mambo magumu sana
ni mkurungenzi weka ushahidi siyo vizuri kuhukumu kabla ya kuona pse ushahidiiiiiiiiii hapo
 
Kila mmoja akitawala utayackia mapungufu yake kibao. Wana Jf tuwe kweli magreat thinkers na tucogope vitisho. Mi na imani hizi taarifa huwa za kweli ila ni uwoga tu na kama c uoga kuna kuhongwa kutoka kwenye source. Leteni documment msije mkatufanya tukakosa imani kabisaa na nyinyi na kuwaunganisha na mtandao wa wanamagamba.
 
Jk nyerere aliipenda tanzania kama familia yake. Hakuwa tayari kuona watu wake wananyanyaswa. Sio tz ya jk,wizi frm mjumbe wa nyumba kumi hadi presida!
Tunataka mafuta tukaendelee kubangaiza, wanataka ionekane issue ya mafuta haiwezi kuwa regulated ili watunyonye vizuri, yule jamaa kawapa 24 hrs notice serikali waombe radhi masebu anakuja na vi tamko. Hivi yule jamaa enzi za Nyerere aliyesema ameiweka serikali mfukoni na huyu anaetoa onyo tena na notice fupi ya masaa 24 akitaka serikali maana yake mkuu wake ni Rais inakuwajekuwaje mi mwenzenu mbona sielewi? Nyerere hivi alifanyaje tena. ni madhara gani au faida gani alizozipata baada ya kumtimua yule jamaa kiasi cha kuwatisha viongozi wetu wa sasa?
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom