Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Kutotaka kumuona au kumsikia mzee Butiku ni matatizo yako binafsi, mzee Butiku hakumualika Idd Amin Dada kuivamia Tanzania ili yeye aratibu vita ya kumuadhibu nduli yule. Humtendei haki mzee Butiku. Matatizo tuliyonayo sasa hivi yamesababishwa na viongozi wenye tamaa na ulafi wanao shindwa kukusanya kodi, wanaoingia mikataba ya hovyo, wanaokumbatia ufisadi, wanaokosa ubunifu na uongozi bora. Hao ndio wanaotakiwa kulaaniwa. Kuvunja miiko ya uongozi ndicho kinacho tugharimu sasa.
Pamoja sana mkuu.
Namshangaa huyo mpumbafu kwa kumshambulia Mzee Butiku kuhusiana na vita ya Kagera. Angekuwa yeye ndiye kiongozi na nchi imevamiwa sijui angechukua hatua gani!? Hana akili kabisa. After all, Butiku alikuwa nani wakati huo wa vita? Sijui hiyo historia ameokota wapi! Ndiyo tatizo la JF uhuru uliomwagwa unaruhusu hata mabwege kuchangia mawazo yao ya kibwege.