kiwalanikwagude
Member
- Jun 8, 2011
- 52
- 19
Ingawaje niko nje ya nchi lakini nikiri wazi kuwa mimi nina asili ya Igunga, niliwahi kusema wazi kuwa wanaigunga hawampendi Rostam Azi wala CCM, nikabishiwa sana lakini sasa naona hata Mzee Mkapa ameona jinsi gani sisi wanaigunga tusivyoipenda CCM yako? TUMECHOKA NA MAGAMBAZ, najua kama ulivyojiapiza Mzee Mkapa kuwa "piga ua galagaza mtashinda" NASEMA HIVI MSHINDI WA CCM NI DR KAFUMU ILA MSHINDI WETU WANA IGUNGA NI MWALIMU JOSEPH KASHINDE, pole Igunga , pole Tanzania!
Pia soma Uchaguzi Igunga: Ni lini Upinzani utajifunza?
Pia soma Uchaguzi Igunga: Ni lini Upinzani utajifunza?