Je migogoro ndani ya CUF na NCCR ni mbinu ya kuhamisha mjadala wa katiba?

king11

JF-Expert Member
Jun 7, 2010
327
79
Kuna fununu ya kuwa migogoro na habari mbalimbali inazushwa ili kupunguza mashinikizo ya serikali katika jambo fulani....tuliona wakati pinda kabanwa kuusu kudanganya Arusha yakazuka mabomu ya gongo la mboto na babu wa loliondo. Tumeona serikali ilipobanwa kuhusu katiba wameamua kuzusha maswala ya posho, mara kuwatumia CCM B kuzusha mgogoro kati ya Hamad rashid na SEIF Sharif
 
Wewe ni shetani wa kisiasa. Kazi ya shetani ni kuwapotosha watu na wewe unafanya kazi ya kuwapotosha watu kisiasa, unayoyasema hayaiingii akilini. Fununu zako peleka jukwaa la tetesi siyo hapa.
 
Wala sio shetan ndivyo serikal ye2 ilivyo. Inawezekana kabisa ndo mbinu yakupunguza mijadala iliyokuwa inaendelea kuhusu katiba
 
yani kuna binadam wengine sijui wanafikiria by using MASABURI? Ivi unaweza kukaa na kuja na hoja dhaifu kama hiyo,ina maana poshon kwa wabunge ni ishu ndogo kiasi cha kuitumia kama kivuli?au maafa ya gongo la mboto kwa hiyo maisha ya watu unaona si kitu?kweli wewe una matege ya ubongo.
 
Kuna fununu ya kuwa migogoro na habari mbalimbali inazushwa ili kupunguza mashinikizo ya serikali katika jambo fulani....tuliona wakati pinda kabanwa kuusu kudanganya Arusha yakazuka mabomu ya gongo la mboto na babu wa loliondo. Tumeona serikali ilipobanwa kuhusu katiba wameamua kuzusha maswala ya posho, mara kuwatumia CCM B kuzusha mgogoro kati ya Hamad rashid na SEIF Sharif

hoja ya kijinga.kajipange upya ondoa upupu wako hapa.
 
Msimshambulie mtu kihivyo kama hamjamwelewa kiundani.
Mngfahamu jinsi akili za wanaotutawala(si kuongoza)zilivyochoka msingemshambulia huyu jamaa.
Tafakari chukua hatua.
 
Kuna fununu ya kuwa migogoro na habari mbalimbali inazushwa ili kupunguza mashinikizo ya serikali katika jambo fulani....tuliona wakati pinda kabanwa kuusu kudanganya Arusha yakazuka mabomu ya gongo la mboto na babu wa loliondo. Tumeona serikali ilipobanwa kuhusu katiba wameamua kuzusha maswala ya posho, mara kuwatumia CCM B kuzusha mgogoro kati ya Hamad rashid na SEIF Sharif
No!! Haupo sahihi kwa hili, case Kama ya kafulila kaponzwa na ukweli uliopitiliza.....amekua muwazi while chama chake si sera zake hizo....na Hamad the same, na zaidi ametishia nafasi ya mtu katika madaraka yake, sasa hauwezi kusema serikali inatumia kupunguza shinikizo la Katiba....elewa hauwezi Ku discuss Ishu moja kila siku matukio Ni mengi yanatokea and we've to go with a flow.
 
yani kuna binadam wengine sijui wanafikiria by using MASABURI? Ivi unaweza kukaa na kuja na hoja dhaifu kama hiyo,ina maana poshon kwa wabunge ni ishu ndogo kiasi cha kuitumia kama kivuli?au maafa ya gongo la mboto kwa hiyo maisha ya watu unaona si kitu?kweli wewe una matege ya ubongo.

kaka ungeishi somalia ungekuwa gaidi lakini kwakuwa upo Tanzania utastaharabika pole pole....sifa kubwa la jukwaa hili ni hoja si matusi lakini naona kila hoja ikizidi upeo wa ubongo wako basi unakuja na matusi ....si kila hoja lazima uchangie, unaweza kuanzisha jukwaa la matusi litakufaa sana hili la siasa litakuumiza kichwa


modi naomba umwanzishie huyu mtu jukwaa la matusi linaweza kumsaidia kwani hana hoja zaidi ya kutukana
 
kuna fununu ya kuwa migogoro na habari mbalimbali inazushwa ili kupunguza mashinikizo ya serikali katika jambo fulani....tuliona wakati pinda kabanwa kuusu kudanganya arusha yakazuka mabomu ya gongo la mboto na babu wa loliondo. Tumeona serikali ilipobanwa kuhusu katiba wameamua kuzusha maswala ya posho, mara kuwatumia ccm b kuzusha mgogoro kati ya hamad rashid na seif sharif

masaburi at work, uharoo mh nuka
 
Back
Top Bottom