Je marekani itafilisika? (wataalamu wa uchumi tupeni ufafanuzi)

MIUNDOMBINU

JF-Expert Member
Apr 14, 2010
465
96
Kuna suala la deni la ndani la marekeni, hivi karibuni limekuwa likiongerewa sana ktk vyombo vya habari hasa vya inje ya inchi. Eti marekani inakabiriwa na deni kubwa sana eti km hatua muhimu hazitachukuliwa ndani ya muda mufupi itatangaza kufilisika kabisa!.

Sasa ndg zangu wana jf hebu tupeni ufafanuzi wa kitaalamu kuhusu hili, maana wengine tunashindwa kuelewa.je inakuwaje wafiisike ndani ya muda mfupi tu.
 
Wakubwa, mkopo ni sehemu ya biashara yoyote ile. Tatizo linaloikumba America leo ni viongozi vijana ambao sio wanasiasa ambao wameshinda na wamesema wanakuja kukomesha tabia ya ukopaji ya America. Vijana hawa maarufu kama Tea Party sio career politician, bali ni watu wenye idea za mlengo wa kulia. Wamekataa kuipa serikali ya Obama uwezo wa kukopa zaidi ya kiwango cha sasa, unless Obama akate matumizi sawa na kiwango anachotaka kuongeza kukupa. Maana Moja toa moja.

America inapita kwenye wakati mgumu kama ilivyokuwa miaka ya themanini, jee inaweza kurudi na kusimama? I guess yes, lakini mengi inabidi yafanyika na moja wapo ni KUMTOA Mkenya madarakani sababu hajui anachofanya.

China ina Population mara 4 ya Marekani, lakini America ina uchumi twice wa China, sasa wewe kama unajua hesabu angalia nani ana stronger economy hapo. Pili USA ananunua almost 30% ya output zote zinazo zalishwa china, so China can't afford weak US economy.
 
2015 China itakuwa nchi inaongozoza kwa uchumi imara dunia!
Kweli Marekani kama itaendelea kukopa itafilisika kutokana na mzigo wa madeni kwa sasa Marekani ina deni la $ 14 Trillion
 
Back
Top Bottom