Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,649
- 6,832
babake rizwan a.k.a juma kaseja
katika ajali ya NUNGWI wahanga aliwapa rambi rambi ya sh.million 5,,
kwenye msiba wa KUNUMBA katoa rambi rambi million 10
jamaa limbukeni sanaaaa...!!
yap! jk
babake rizwan a.k.a juma kaseja
katika ajali ya NUNGWI wahanga aliwapa rambi rambi ya sh.million 5,,
kwenye msiba wa KUNUMBA katoa rambi rambi million 10
jamaa limbukeni sanaaaa...!!
Ni mganga wa ikulu na mama wa kambo wa ritz1Ni mama wa kambo wa rizwan!
Du!hata kama mnamchukia mtu si kwa kiasi hicho!kwani akisema vile ndo nini
halafu kwakuwasaidia ni kwamba mwanamke yoyote anayefanikiwa kuwa mke
wa Rais,huwa ni muhimu sana kushinda hata mtu mwenye cheo cha uwaziri,kwa nini
kama Nchi inaongozwa na Rais na ana mke,kumbuka ni kitu kimoja,tukija kwenye
Reality,anamtunza kumfanya awe na afya na wakati mwingine kumpa ushauri
ambao baadae hutusaidia au usitusaidie kutegemea jambo lenyewe sasa
ni ngumu sana kumtenga eti ni nani,yeye ni Mama yetu tutake tusitake
as long as she is with our President! ana haki ya yote anayosema irimradi
hayamwathiri mtu yoyote!!
Hilo la kuagiza mkuu wa Mkoa ashitakiwe kwake sasa hii ndio ilitakiwa kuwa topic lakini sio hilo la wasanii wa movie.
hii ni nchi ya kidemokrasia ambapo tunaishi kwa kanuni ,taratibu na sheria,
wakati wa uchaguzi tulifunga mkataba na rais tu wa kututumikia,
sasa baada ya kupata ndio asitusikilize mpaka tuanze kwenda kubana pua kwa akina ritz1?,
Ni mganga wa ikulu na mama wa kambo wa ritz1
mi napita tuu!
Hata mimi
Yupo, ndo aliyesababisha babu seya na wanae wananyea debe muda huu...
kwani akitetea haki za wasanii ndo anakuwa na madaraka sawa na raisi? Hata wewe unaweza anzishaa harakati za kutetea wasanii...
huyu ndie mama wa yule mtoto wa mweshimiwa aliyepata div 4???? kama mtoto kama mama
ninachojua watu huwa wanamchagua preident tu na c na mkewe,yeye anabaki kuwa mke wa pres hayo mengine anayoyafanya ni yake but wengi wa wake zao huwa na vituko vya ajabu kuliko waume zao,mfano kwa kibaki n.k
najua hilo ila nimeulizia ni nani kutaka kusaidia wasanii bila kupitia chama cha wasanii?ni first lady wa Tz
Hata mimi
yap! jk
Mkuu asimtetetee bure huyu mama kazidi kujiweka kama yeye ndo Waziri mkuu au Makamu wa Rais....yeye ni mke tu anatakiwa kumpikia mme wake na sio kuingia kwenye siasa