Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Kwanza nanukuu....
Mama Salma alisema: "Kwa kweli nimeguswa sana na kifo cha Kanumba kwani nilishaanza kutengeneza mazingira ya kutetea haki za wasanii wa filamu kwa kushirikiana naye pamoja na msanii mwingine wa kike ambaye yupo miongoni mwenu hapa...
Maswali yangu, yeye ni nani kuanza kufanya kazi hizi zaidi ya kumtunza RAIS wetu ili afanye kazi kiufanisi, pili je, hivi katiba ya Tanzania inaruhusu mke wa Rais kuwa na madaraka kama Rais? Je kwa nini Mama Nyerere hakuwa hivi au Baba wa Taifa, sijui yeye alikuwa mbinafsi kutomruhusu Mkewe kujiingiza katika hekaheka za sijui ukombozi au shughuli zingine? Jingine, hawa wake za Marais wetu mhhhhhhhhhhhhhh...ni hoja tuuuuuu......Source http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/mama-kikwete-amliza-wema
Maswali yangu, yeye ni nani kuanza kufanya kazi hizi zaidi ya kumtunza RAIS wetu ili afanye kazi kiufanisi, pili je, hivi katiba ya Tanzania inaruhusu mke wa Rais kuwa na madaraka kama Rais? Je kwa nini Mama Nyerere hakuwa hivi au Baba wa Taifa, sijui yeye alikuwa mbinafsi kutomruhusu Mkewe kujiingiza katika hekaheka za sijui ukombozi au shughuli zingine? Jingine, hawa wake za Marais wetu mhhhhhhhhhhhhhh...ni hoja tuuuuuu......Source http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/mama-kikwete-amliza-wema