sina ujuzi wa madhara ya kafya ila kwenye ku boosy energy inasaidia ingawa inapunguza efficiency kwa wakaka. endurance inakuwa poor.
tunywe nini sasa maana mzizi mkavu anasema hata redbull ina madhara?
Kunywa maji mkuuu.tunywe nini sasa maana mzizi mkavu anasema hata redbull ina madhara?