Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,015
KUMBE ALLAH NI MUISLAM NA YEYE ANASWALI NA KUTAWAZA KAMA VIUMBE!!!!!!!!!!!!!!!!!!Bora ya MAGAZETI YA SHIGONGO KULIKO TAKATAKA NA UCHAFU WA BIBLIA... KUNYWA MAJI HALAFU SOMA TARTIIIIIIIBU
One is hard pressed to keep up with their Jugglery.
Jamani eeeh, huu ni MSIBA kwa ALLAH:::::
Ndugu zetu wa kambo wanasema kuwa eti Allah ni Muislam. Basi leo hii mimi nimekubali kuwa Allah ni Muislam, lakini kuna mambo machache ningependa tuyaangalie:
ALLAH ANASWALI:
Quran 33: 56. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu
Hapo Allah na Malaika wake wanamswalia Mtume Muhammad. Kumbe Allah na yeye anaswali kama viumbe. Hebu endelea kupata darsa
KABLA YA SWALA WAISLAM WOTE LAZIMA WATAWAZE
Kumbe Allah na yeye kabla ya swala lazima afanye "Taharah" ILI ATOWE "Najas".
Kufuatana na Surah Al Baqara, Allah anapenda watu ambao wanajisafisha. Lakini kama kukiwa hakuna maji basi Muislam anarughusiwa kufanya Tayammum ambayo ni "wudu" na au "ghusl". Si mnajua tena kule kwa Allah hakuna maji....
MASWALI:
1. Kwanini Allah aswali kama viumbe?
2. Kwanini Allah afanye "tahara" ili kutoa Najis?
3. Ni uchafu gani huo allah huwa anatoa/usafisha?
MaSwali haya yameenda shule. Nategemea wafuasi wa allah wataleta ayat kusaidia majibu zao bila ya Matusi.
Watakabahu