Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,686
- 1,278
mimi pia ni mtumiaji wa hiyo kitu ningependa kujua kama kuna madhara
Mimi simtaalamu lakini naona inamadhara na ninahisi inaweza kuleta kansa ya ngozi kwani inaua vishina vya vinywekeo kwakuviozesha kwa mda mfupi sana ndiyo maana unavuta nywele zintoka bila ya kusikia maumivu!!think twice on it.