Je, Kwanini wanawake wa kizungu wanavutiwa kimapenzi na wanaume wa Kimasai?

Wewe mangi unaona ufahari kuwala wazungu wa Kijerumani? Huo sio urijali wakati huu wa gonjwa hatari la ukimwi. Kwanza umetoka nje ya mada.
Mie nipo cngida na nshakula wazungu wawili wa kijerumani na mie c masai ni mchagga! Sasa ndugu hapo wasemaje??
 
Mkuu kuhusu hiyo 'engineering structure' ni kweli kabisa, ndo maana mmsai kama hujatahiriwa porini unapoteza 'value' yako kama mwanaume na utadharauliwa sana kama huna 'the little dick'. Kifupi ni kwamba wao lile govi huwa hawaliondoi lote badala yake ile ngozi inaviringishwa na kuning'inizwa kwa chini kwenye shingo ya 'kitendea kazi'. hivyo ukiiangalia 'from a side' inaonekana kama herufi T.

Sasa ukiangalia 'morphology' ya 'doto' sehemu ya mkuno haswa iko kwa juu, nadhani ile nundu walipaswa waiweke kwa juu kwani wakati wa majambo ndo ingekuwa inagusa kunako mahala haswa. Mie ndahani hao watasha huwa wananogewa na 'mihogo ya jang'ombe' maana kwa hilo jamaa wamebarikiwa asikwambie mtu-wazungu wengi hawana mihogo ya jang'ombe aiseee na ndo maana midawa ya kuongeza ukubwa wa vitendea kazi umeanzia huko. Na hiyo ndiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kwa hawa jamaa wanawake wao wengi kukosa uzazi, maana kwa kale katabia kao ka kuwaingilia watoto wadogo na hiyo mihogo yao ya jang'ombe hupelekea 'watoto' wengi kuharibiwa vizazi wakiwa ktk umri mdogo sana. Wenyewe huwa hawapendi hili kuongelewa, lakini ukweli ndo huo.

Na ni ngumu kujua kuwa mwanamke wa kimasai hazai kwa sababu wengi huwa wanapewa watoto wa wake wenzao wenye uwezo wa kuzaa. Hili ni eneo ambalo mnaweza lifanyia utafiti mtajua nilisemalo ni kweli, ila unaweza ukajikuta unakosa data if you decide to embark on this study maana jamaa wako strict sana kwenye ku-expose their realities.
Mkuu hapo umemaliza kila kitu,wale majamaa wanapoenda jando hawatupi nguzi ila inakatwa kwa juu na kufungiwa kwa chini,kwahiyo dudu linaonekana kama ina vichwa viwili.
 
Mie nipo cngida na nshakula wazungu wawili wa kijerumani na mie c masai ni mchagga! Sasa ndugu hapo wasemaje??

Humu humu JF kuna thread za kukashifu madada wa kiTanzania wanaoliwa na waZungu....sasa inakuwaje tena mTanzania mwanaume ni sifa kula mZungu, wakati mdada mTanzania ni dhihaka kuliwa na mZungu!?
 
Humu humu JF kuna thread za kukashifu madada wa kiTanzania wanaoliwa na waZungu....sasa inakuwaje tena mTanzania mwanaume ni sifa kula mZungu, wakati mdada mTanzania ni dhihaka kuliwa na mZungu!?

Mfumo dume mkuu! Watu tunapenda kula vya wenzetu vikiliwa vyetu, weeeeeeeeeeeeeeeeee, ugomvi wake hapo!
 
Mimi niko Arusha na ni kweli wanawake wa kizungu wengi wana marafiki wa kimasai tena wanapenda waliovaa kimila. Ninachojua mimi si kwamba wanwapenda kwa sababu ya maumbile yatokanayo na jando ila kutokana na wamasai kuwa na uwezo finyu wa kielimu na hivyo kuwa rahisi kwao kukubali kila kitu kama akina mama wakizungu wanavyo taka. Kwa kawaida akina mama wa kizungu wanakuja kwa malengo maalum na si kutaka mapenzi bali wana mission mbalimbali ambazo hawataki watu wajue. Kwa sababu wamasai siyo wadadisi na wajanja huwa wanapendwa na hawa akina mama ambao huwatumia ili kupenetrate sector ,maeneo ya vijijini n.k. Kwa hiyo hawa wazungu hawapendi kabisa mtu aliyekwenda shule au mjanja kwa kuogopa kuchunguzwa chunguzwa na hila zao kugundulika. Ukiangalia wamasai wapenzi wa wazungu ni wale ambao hawajasoma kabisa kwani wamasai waliosoma sijaona mwenye rafiki wa kizungu.

Ninao mfano wa wazungu wachache waliojitafutia rafiki wa kimasai na hatimaye kuanzisha asasi kubwa hapa Arusha mfano mmiliki wa Shule kubwa ya St. Jude ni mama wa Australia aliyeolewa na mmasai baada ya kukutana naye alipokuja kama mtalii. Mifano iko mingi ila HIYO NDIYO SABABU KUBWA WANAWAKE WA KIZUNGU WANAPENDA WAMASAI

Hii inaweza kuwa na ukweli ndani yake. Namfahamu mama mmoja wa kizungu ambaye ameingilia ndoa ya mlinzi wao wa kimasai huko DAR na kumnyang'anya mume mama wa kimasai. Mlinzi huyu wa kimasai hivi sasa anaendesha gari alilopewa na huyu mama wa kizungu.
 
pia wamasai wana madawa kibao yanayorudisha heshima ya ndoa kuna moja nilijaribu.ki2 kilisimama kama mlingoti wa tanesko.wamasai wanajua madawa mengi sana.ndo mana mmasai original hana kitambi.ukimwona mwenye kitambi ni feki

mkuu hiyo dawa inaitwaje?
 
Ukibahatika kwenda Zanzibar, Bagamoyo, Arusha utashangaa kuona wanawake wa kizungu wanavyotoka kimapenzi na wanaume wa kimasai, yaani wazungu hawawazimikii masharobaro wala mabosi yaani wao wanawapenda sana wamasai mpaka wanazaa nao wanawapeleka ulaya, mzungu yuko tayari alale chini kwenye nyumba ya tope na mmasai, yaani nadhani kuna magnetic power kati yao
 
hakuna magnet. wazungu wanakuja Tanzania kwa ajili ya utalii na wengi wao wanakuja wakati shule zimefungwa na wanapewa assignment shuleni wanapokuja. mfano kuandika report ya real life of Masai. au Kinyago kinachoonyesha mama anambeba mwanae au mama anachota maji anu mama anatwanga. kwa ufupi vitu kama hivyo kwao havipo hivyo wanajitahidi kwa muda mfupi wanapokuweo kufahamu kila kitu katika topic zao. usione mzungu kanunua vinyago vingi ukashangaa wapo wananunua kama mapambo na ila wengi ni wanafunzi wanaandika report za shuleni. hivyo hivyo kwa wamasai hawataki kusoma kwenye vitabu na hivyohuja Tanzania na wanajitahidi kuwa nao karibu ili wapate reporti nzuri shuleni kwa ualisia wao.
 
Sifa ya mtu anaeitwa mzungu huwa hawezi na hapendi kuwa na rafiki wa mapenzi mtu anaejielewa. kama ni mwanamke wa kidhungu atatafuta mtu muhuni na mchafu anayekua anaishi kwa kubahatisha na mwannamme pia.

Kama na ww maisha hayo unayapenda ya kupendwa na mzungu anza sasa kubadilika.
 
Sifa ya mtu anaeitwa mzungu huwa hawezi na hapendi kuwa na rafiki wa mapenzi mtu anaejielewa. kama ni mwanamke wa kidhungu atatafuta mtu muhuni na mchafu anayekua anaishi kwa kubahatisha na mwannamme pia.

Kama na ww maisha hayo unayapenda ya kupendwa na mzungu anza sasa kubadilika.

Wanapenda mazuzu, hata ukiongea English nzuri hawatakupenda
 
Halafu nasikia wamasai wana fimbo ndefu, wembamba bila vitambi, na wazungu nao nyufa balaa
 
Kwanza hao wazungu wanawaweka hao wamasai kama sehemu yao ya utalii yaani wakisema wanakuja kutalii ni pamoja na kuwaangalia wamasai wa aina hiyo, hivyo akipata nafasi ya kuwa naye karibu anakuwa anaendeleza utalii wake zaidi
 
Ndio maana kwetu hatutahiri ! Kwa nini uondoe uhondo na utamu!
Katika mizunguko yangu nilikutana na Mzambia mmoja wakati tukijipumzisha kwenye bar moja huko,nilipojitambulisha kwake kuwa mimi ni Mtanzania, aliniambia kuwa alipokuwa akifanya kazi ICTR huko Arusha alijifunza kuwa wanawake wa kitasha wanawazimia sana wanaume wa Kimasai.

Mimi nilikuwa sijawahi sikia hilo, hivyo nilitaka kujua zaidi ikabidi nimdadis kulikoni? Akaniambia kuwa Wanaume wa Kimasai wanapokwenda suna (Jando) huwa wanatengenezwa kiasi kwamba wanakuwa na mbili, moja kubwa moja ndogo.

Kila moja ikiwa na kazi yake special katika maendeo tofauti kwa wakati mmoja na hii inamfanya mwadada achanganyikiwe.

Kwakweli nilibaki pwa kama mchuzi wa dagaa, mgeni anafahamu mimi sifahamu.

Sasa hebu ndugu zangu mliopo huko, kuna ukweli gani juu ya hii kitu na hii design ya Jando inakuwakuwaje?

Kama ni kweli vipi Kina dada wa Kibongo Mliopo huko au wale mliopata bahati ya kuwa na hao wamasai kuna ukweli gani na kuna tofauti gani na sisi waswahili wenye jando la kawaida?

Kuna uwezokano wa mtu kufanyiwa marekebishi kuwa kama mmasai?
 
Marasta wanatoa nini cha ziada maana naona mambo yao kwenye maeneo hayo si haba.
Ni kweli sana, ndyo maana mm tangu nianze mambo ya wakubwa sijawahi onjwa mswahili, naona hawapendi rasta kama wazungu
 
kumbe wamasai wana mambo adimu hivi?!..!! nadhani sasa serikali ingechukua hatua ya kuwahifadhi wasichangamane na jamii nyingi wasipoteze hizi 'values'. Namaanisha watengwe ktk game reseves and national parks kama wanyama ili kulinda urithi huu wa dunia, nadhani wengine tutaenda kujifunza kwao ili tule mizigo ya kizungu kama wao.
 
Back
Top Bottom