Jamani nimejaribu kufanya tathmini ndogo sana ila nimegundua ndo nyingi siku hizi hazidumu kwa nini? nimegundua sababu kubwa inayofanya ndoa kutodumu kwa muda mrefu je wewe umegundua?
Hatuja gundua unaonaje ukituambia wewe umegundua chanzo/vyanzo ni nini?
mke mwema hutoka kwa Bwana, je mme mwema hutoka wapi?