Je kwa kutotamka Ndugu, Mh au Dr; mtu huyu amekosea?

Mfwalamanyambi

JF-Expert Member
Dec 18, 2010
433
102
Wakati watu wengi wakipewa nafasi ya kumkaribisha Rais wa Tz wanaanza na maneno kama vile, ... Ndugu, Mh, Dr. ....... Leo kwenye sherehe za kumsimika Askofu Ndimbo pale jimboni Mbinga, kiongozi (Askofu) mmoja alipewa nafasi ya kumkaribisha Rais, kaanza kwa kusema "sasa namkaribisha J....K.... bila kuweka yale maneno muhimu ya kumtambua kiongozi, je hapo amekosea ?
 
yaa, amekosea kwa kutokumtaja kuwa ni nani hasa... Kama amesema "namkaribisha Rais wa Tanzania.... kisha baada ya hapo akataja jina" basi hajakosea. Huwezi tu ukamkaribisha mtu bila kutaja cheo chake, manake siyo wote wanaojua huyo ni nani.. Haya ya Dr. Mheshimiwa siyo lazima, hata ingekuwa mimi nisingeyatumia!
 
Back
Top Bottom