Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Bunge la kumi lilipoanza ccm walibadili kanuni ili kamati zile za kudumu ambazo huwa zinakuwa chini ya upinzani zisiende cdm kwa kuwa cdm ni theat kwao!katika kufanikiwa hilo kanuni zilizoiruhusu cdm kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni zilibadilishwa ile zile kamati ziende kwa mamluki.katika hili vibaraka mapesa,mzee wa zege na kabwe walipigiwa kura za vishindo na ccm!je unadhani angekuwa lissu angepigiwa kura na ccm kumbuka kuwa mabere pamoja na mustapha akunay wakati wanagomnea uspika na unaibu uspika hawakupigiwakura na ccm hata moja pia hata cuf waliipigia ccm.je kwa hili zitto si kibaraka wao?naomba mawazo yenu.
Gamba umeona tumekushtukia umeanzisha Uzi Mwingine rudi huku
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/249650-je-kwa-hili-amuoni-kama-zitto-ni-kibaraka-2.html