Mwalimu Samwel Nyamsangya, wa Shule ya Msingi Saranga iliyopo Kimara Temboni, jijini Dar es Salaam, akiwafundisha wanafunzi 200 wa darasa la pili jana huku wakiwa wameketi chini kutokana na ukosefu wa madawati. Shule hiyo ina jumla ya wanafunzi 1,080.
maoni: jE HALI HII IMEENDELEA FOR PAST 4 YEARS, SERIKALI ITAOMBA KURA KWA HALI GANI?