dfreym
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 342
- 87
wadau, habari, kuna maswali kadhaa ambayo ningependa tujadili.........
watu hukoseana katika mahusiano, tena inafikia hatua mpaka kuachana (sababu ya makosa hayo).
kwa mfano makosa kama kufumania, matusi (kutukanwa/kutukana), kudhalilishwa, kusalitiwa na mengine meengi......
kuna baadhi ya kauli ambazo nimekuwa nikizisikia kutoka kwa baadhi ya watu (wadada kwa wakaka),
kuwa ......nimekusamehe lakini siwezi kurudiana na wewe......,
AU ......nimekusamehe lakini moyo umekataa kabisa kukuridhia tena.
nini maana ya msamaha wa kweli?
1. je ni kusahau yaliyopita/yaliyotokea na kuishi kama hakuna kitu kilichotoke (yaani mapenzi moto moto kama hamkukoseana)
2. au kusameheana ila uhusiano uvunjike, (zibaki salamu, na kujuliana hali)
3. vipi kuhusu wale wanao sema kuna makosa ya kusamehe na mengine si ya kusamehe?
4. vipi kuhusu maandiko matakatifu yanasemaje kuhusu suala la msamaha......
karibuni......
watu hukoseana katika mahusiano, tena inafikia hatua mpaka kuachana (sababu ya makosa hayo).
kwa mfano makosa kama kufumania, matusi (kutukanwa/kutukana), kudhalilishwa, kusalitiwa na mengine meengi......
kuna baadhi ya kauli ambazo nimekuwa nikizisikia kutoka kwa baadhi ya watu (wadada kwa wakaka),
kuwa ......nimekusamehe lakini siwezi kurudiana na wewe......,
AU ......nimekusamehe lakini moyo umekataa kabisa kukuridhia tena.
nini maana ya msamaha wa kweli?
1. je ni kusahau yaliyopita/yaliyotokea na kuishi kama hakuna kitu kilichotoke (yaani mapenzi moto moto kama hamkukoseana)
2. au kusameheana ila uhusiano uvunjike, (zibaki salamu, na kujuliana hali)
3. vipi kuhusu wale wanao sema kuna makosa ya kusamehe na mengine si ya kusamehe?
4. vipi kuhusu maandiko matakatifu yanasemaje kuhusu suala la msamaha......
karibuni......