Nyundo Kavu
Senior Member
- Dec 6, 2011
- 186
- 85
Wadau, katika kupitia baadhi ya posts nimegundua baadhi ya wanajamii wengine huwa hawatumii maneno mazuri kabisa katika kukosoa mada husika! Najua hata baada ya kuandika hivyi kuna ambao watakurupuka kama kawaida kutuma "negative" comments about this....
Najua wote humu dhumuni letu ni kuelimishana na kukosoana kiustaarabu na kwa njia hiyo inaonesha kuwa wana jamii wameelemika na wanajua nini wanachofanya humu....
Naomba "waheshimiwa" tuondoke katika dhana ya kukosoana kwa kukurupuka na badala yake tutumie evidence na ueledi wakati wa kukosoa MADA husika. Aksanteni.
Najua wote humu dhumuni letu ni kuelimishana na kukosoana kiustaarabu na kwa njia hiyo inaonesha kuwa wana jamii wameelemika na wanajua nini wanachofanya humu....
Naomba "waheshimiwa" tuondoke katika dhana ya kukosoana kwa kukurupuka na badala yake tutumie evidence na ueledi wakati wa kukosoa MADA husika. Aksanteni.