Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
mi nimeoa mke wang sas ana mimba ya miez 8 na anatak tujamiane e kunashida
Ndio maana nasemaga dunia inaelekea ukingoni. Huyo mwenye mimba ni mke kama ulivyoandika hapa au ni hawara yako?
Nitashangaa kuona kuna watu wamekupa binti yao awe mke ungali una mambo ya kitoto namna hii. Kuingia kwenye ndoa ilhali hujui jambo dogo kama hili ni dalili kuna meeengi sana huyafahamu.
Kuna mwingine hapo chini naye anaona kwamba unaweza kumdunga mtoto, sijui anatania au ndio anavyojua, Mungu tu atusaidie. Tena aongeza kuwa mtoto anageukageuka