Kwa Mfano Mr.&Mrs Madinda?
Taabu ni pale jina hilo linapotumiwa vibaya na huyo mtalaka wako. Mi naona hakuna ubaya kuendelea kulitumia.
ni lazima ameishaingia ukoo wenu!:d...ni lazima mke akishaolewa kutumia jina ukoo la mumewe? ...vipi huyo mke akiendelea kutumia jina hilo hata baada ya kuachika? ...mume ana mamlaka ya kumnyang'anya mtaliki wake "hatimiliki" ya kuendelea kutumia jina la ukoo (wa mume)?
ni lazima ameishaingia ukoo wenu!:d
Hapo umenena lakini hii oa, fukuza kesho bila talaka na mgawano wa mali na mkataba wa kutunza watoto, No ana right ya kuitwa hilo jina.kwani hiyo system ilianzia wapi? Ikiwa Ni MRS .......... lazima isomeke ukoo wa MR au siyo wakuu. Kama sio MRS tena kuendelea kulitumia unakosea big time maana sifa hiyo hunaaaaaaaaaa.Ukishaachika unabaki na jina lako la utotoni tu .
... sasa inakuwaje wale wengine keshaachika bado anatumia Surname ya Ex-husband, anaolewa tena bado tu kang'ang'ania Surname ya Ex- wake, mbaya zaidi hata huyo Mume mpya 'hajali'...
Hiyo surname inayong`ang`aniwa ni dili mzee. Ktk biblia sehemu fulani pameandikwa kuwa;itafika kipindi wanawake kadhaa watamwomba mwanaume kuwa watumie jina lake,ila wao watajitunza wenyewe. Kwa hiyo mkuu ndo imeshaanza hiyo.
Hakuna lolote hapo ni ukoloni wa kizamani tu huo.
Kuingia kwenye ukoo ndio nini?????
mwache mkeo atumie jina lake kama zamani.
Atatumia surname yangu anapokuwa mke wangu. Anapokuwa si mke wangu hastahili kutumia surname yangu! Full stop!!!
...dah, hebu ninukulie hicho kifungu kipo kitabu gani, ngapi mpaka ngapi... nimejaribu kuperuzi na kudadisi bila mafanikio.
Inakuwaje pale mtaliki wako anapata mafanikio makubwa ya kikazi na maisha simply kwa kutumia ujiko (wa) jina la ukoo wako? halafu ukimgusa jeuri nyiiiiingi! Inauma eeh