Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Msisikilize ya walimwengu hawana wema, hawana wema hao! Mpatapo neno mlichuje, lililo jema liwe lenu! {source: christina shusho}
Wewe unampenda?
umechunguza tabia zake ukaona zinakufaa?
Kama anakufaa wewe oa.
mimi ninachojua ni hayo ni maneno tu ila kuwa makini maana wanawake wa kichaga ni watafutaji sana na wewe inabidi uige otherwise yatakua si mambo...