Dogo Lao
Member
- Nov 2, 2011
- 94
- 38
Katika uwanja huu wa mahusiano, mapenzi na marafiki ni mgeni, lakini ktk nyanja nyingine si mgeni kivile, hivyo kabla ya yote niwaombe wadau mnipokee kwani si busara kuingia pahali bila kubisha hodi!
Direct 2 my point:
ninamchumba wangu, Natarajia kumuoa, mimi ni msambaa, yeye ni mchaga wa machame. Kila ninayemwambia suala hili ananiambia kuwa nimeingia choo cha *ke, kwani hawa jamaa wapo ki maslah zaidi kuliko 'real marriage'. Ukishakaa nao kwa mda mrefu kidogo wanakutanguliza mbele ya haki ili wabaki na mali.
Hapa ndipo ninapopata utata, but sina dhamira mbaya juu ya thread hii, only nahitaji masaada wa mawazo hasa kwa mtu mwenye kuielewa vizuri issue hii. Natumaini nimeleweka vizuri.
Direct 2 my point:
ninamchumba wangu, Natarajia kumuoa, mimi ni msambaa, yeye ni mchaga wa machame. Kila ninayemwambia suala hili ananiambia kuwa nimeingia choo cha *ke, kwani hawa jamaa wapo ki maslah zaidi kuliko 'real marriage'. Ukishakaa nao kwa mda mrefu kidogo wanakutanguliza mbele ya haki ili wabaki na mali.
Hapa ndipo ninapopata utata, but sina dhamira mbaya juu ya thread hii, only nahitaji masaada wa mawazo hasa kwa mtu mwenye kuielewa vizuri issue hii. Natumaini nimeleweka vizuri.